Baada ya kufanya vizuri kwenye filamu ya Pumu,mcheza filamu anaekuja juu kwa kasi Mwanaher amemaliza utengenezaji wa filamu ya Mwanaher aliyowashirikisha wa sanii nyota wa filamu nchini
Akifunguka kiafrika bila hofu yoyote amesema amepania kuteka soko la filamu nchini kwa kufanya kazi nzuri zenye viwango vikubwa sana amesema filamu hiyo amecheza na wasanii kama vile Stanley nsungu,Riyama Ally,Frola Mvungi na wengine wengi
Jumatano, 17 Februari 2016
Jumanne, 16 Februari 2016
MWANAHER:NIPO VIZURI KILA IDARA
Mtaarishaji na mwigizaji wa kike kutoka bongo movie nchini Mwanaher Afcely ametamba kuwa yupo vizuri kila idara,uku akidaiwa kufananishwa na nyota Riyama Ally
Mwanaher ametamba kuwa hajivunii kufanana na Riyama tu bali uwezo wake katika uigizaji na kufanya kwake vizuri ndio kunafanya mashabiki kushindwa kutofautisha utofauti wake na Riyama hasa kwa kuigiza kwa ufasaha
Mwanaher anafunguka kiafrika bila hofu kuwa "nipo kikazi zaidi na unajua kama nafananishwa na Riyama na anauwezo mkubwa lazima nijitaidi kufanya kazi kwa bidii ili nifanikiwe nakujituma zaidi ndio kitu kikubwa
Mwanadada huyu mwenye stashahada ya manunuzi amesema kuwa alikua anaigiza filamu kutoka kwa watu hadi alipotengeneza filamu yake ya pumu akiwashirikisha wakali wengine na kudai kuwa anahisi ana deni kubwa kufananishwa na Riyama
Mwanaher ametamba kuwa hajivunii kufanana na Riyama tu bali uwezo wake katika uigizaji na kufanya kwake vizuri ndio kunafanya mashabiki kushindwa kutofautisha utofauti wake na Riyama hasa kwa kuigiza kwa ufasaha
Mwanaher anafunguka kiafrika bila hofu kuwa "nipo kikazi zaidi na unajua kama nafananishwa na Riyama na anauwezo mkubwa lazima nijitaidi kufanya kazi kwa bidii ili nifanikiwe nakujituma zaidi ndio kitu kikubwa
Mwanadada huyu mwenye stashahada ya manunuzi amesema kuwa alikua anaigiza filamu kutoka kwa watu hadi alipotengeneza filamu yake ya pumu akiwashirikisha wakali wengine na kudai kuwa anahisi ana deni kubwa kufananishwa na Riyama
Jisajili kwenye:
Machapisho (Atom)










